
Orodha ya wagombea wa nafasi ya urais kama ilivyotolewa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar - ZEC.

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba

Aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo Zanzibar Mh. Said Ally Mbarouk.
Naibu Mkurugenzi Utawala, fedha, mipango na utatuzi wa migogoro chuo cha Diplomasia Dkt.Bernard Achiula

Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad.

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mhe. Bahame Nyanduga

Picha ya eneo mbalo ndio kitovu kikuu cha shughuli za biashara na kiuchumi kisiwani Zanzibar.