Makamu wa Rais Dkt Mohammed Gharib Bilal, akipata ufafanuzi wa namna shughuli za maktaba zinavyoendeshwa nchini kutoka kwa mkurugenzi wa bodi ya huduma za Maktaba Dkt Ally Mcharazo. Katikati ni naibu waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Bi. Jennister Mhagama.

23 May . 2014