Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiteta jambo na mkurugenzi mkuu wa ofisi ya taifa ya takwimu NBS Dkt Albina Chuwa (kulia) wakati wa uzinduzi wa chapisho kuu la sensa ya watu na makazi jijini Dar es Salaam jana.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimwapisha kamishna Diwan Athumani kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 22,2016