Baadhi ya Wananchi wakiwa katika maandamano ya maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa Kijinsia
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.