
Meninah Atik ni mwanamuziki chipukizi, mtunzi wa nyimbo na dancer.
Amezaliwa Tarehe 18/03 na kupata elimu ya sekondari Kenton na kwa sasa ni mwanachuo, Dar es Salaam University School of Journalism (DSJ), akisomea Shahada yake ya kwanza kwa masomo ya Mass Communication.
Menina anapenda movies, kusoma novels, kuogelea na kusafiri kwa njia ya gari (road trips)
Anapendelea sana kukaa nyumbani kuliko kutoka out.





