Mwili wa mchimbaji uliofukiwa wafukuliwa mgodini Mwili wa mchimbaji uliotolewa ndani ya kifusi Mwili wa mchimbaji mmoja kati ya watatu waliofukiwa na kifusi baada ya duara kumeguka katikati kwenye mgodi wa Nkandi eneo la Mwime, Manispaa ya Kahama, mkoani Shinyanga waopolewa. Read more about Mwili wa mchimbaji uliofukiwa wafukuliwa mgodini