Droo ya kombe la Dunia 2026 kufanyika leo Hafla ya upangaji wa makundi ya Kombe la Dunia 2026 inafanyika leo nchini Marekani, ikiwa hatua muhimu kuelekea mashindano ya kihistoria yatakayoshirikisha jumla ya timu 48 kwa mara ya kwanza. Read more about Droo ya kombe la Dunia 2026 kufanyika leo