Mzimu wa Diamond Unamtafuna Rayvanny Pichani ni Rayvanny na Diamond Mmoja wa wadau wa muziki hapa Tanzania ametoa mtazamo wake juu ya wimbo wa Nesa Nesa wa msanii Rayvanny kuwa umerudi upya katika Trending na ni kwasababu ya Verse aliyoifanya Msanii Diamond katika ngoma hiyo. Read more about Mzimu wa Diamond Unamtafuna Rayvanny