CCM haitavumilia wanaovuruga amani

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Tanga Rajab  Abrahmani Abdallah, amewataka wanaTanga kutokubali kuingiliwa na watu kwa visingizio vya Siasa wakiwa na nia ya kuvuruga amani akisema kamwe  jambo hilo CCM haitaweza kulivumilia

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS