"Mimi ndio Raila Odinga wa muziki Kenya" - Bahati

Picha ya msanii Bahati na Hayati Raila Odinga

Mwanamuziki kutoka Kenya Bahati anasema kwenye kiwanda cha muziki wao anajifananisha na aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga kwenye siasa ambaye amezikwa siku ya Jumapili. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS