Wakili wa Oscar Amhoji Shahidi

Wakili wa Utetezi wa mwanaridha mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius leo ameanza kumhoji jirani wa mteja wake aliyeiambia mahakama jana kuwa alisikia mwanamke akipiga mayowe na kuomba msaada siku ya tukio la mauaji Februari 14, 2013.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS