Waumini Arusha wasali nchini ya Ulinzi mkali

Waumini wa msikiti wa Masjidi Quba uliopo eneo la Makao Mapya Mkoani Arusha wameswali swala ya Ijumaa hii leo chini ya ulinzi mkali wa Polisi, ambao waliuzunguka msikiti huo wakiwa na silaha.

Aidha kabla ya polisi kuuzunguka msikiti huo, Maimamu wawili Japhali Lema na Hassan Waziri walichukuliwa na polisi hadi kituo cha Polisi Makao Makuu mjini Arusha kwa mahojiano kutokana na majibizano makali baina yao kuhusu nafasi ya kuongoza msikiti huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS