Wizi wa mafuta ya transfoma bado tishio Dar

Moja ya transfoma ya shirika la umeme nchini Tanesco, ambayo hutumika kusambaza umeme kwa wananchi.

Watu wasiofahamika wamekata umeme na kisha kuiba mafuta pamoja na vipuri vyote vilivyokuwa ndani ya transfoma inayosambaza umeme eneo la viwanda, mtaa wa Ali Hamza pembeni mwa barabara kuu ya Mandela tabata jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS