J.Martins 'aguswa' na vipaji Liberia
J Martins, mwanamuziki kutoka nchini Nigeria ambaye amekuwa huko Liberia hivi karibuni kwa ajili ya mishe za kimuziki amesema kuwa, ameona vipaji kibao ndani ya nchi hiyo ambavyo vinaweza kutikisa chati za muziki kimataifa.