Wanawake 100 hufa kila siku kwa saratani

Wanawake mia moja hufa kila siku nchini Tanzania kutokana na saratani ya shingo ya kizazi hali inayosababishwa kwa kiasi kikubwa na uzazi wa utotoni pamoja unywaji wa pombe na uvutaji wa tumbaku.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS