Madonna kufanya filamu Kenya

Madonna

Msanii wa muziki kutoka Marekani, Madonna anatarajia kuhusika katika kazi ya kuongoza filamu ambayo itafanyika huko Kenya, ikiwa inakwenda kwa jina Ade: A love Story ambayo kisa chake kinatokana na kitabu cha hadithi cha mwandishi Rebecca Walker.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS