Mafikizolo yawania tuzo Kibao
Kundi la muziki la Mafikizolo ambalo Jumamosi hii litadondosha burudani kali jijini Dar es Salaam, limeweza kuteka vichwa vya habari tena hasa baada ya kung'ara kwa kutokea katika tuzo kubwa za muziki za Afrika Kusini- SAMA za mwaka huu.