Wamasai na Wasonjo wakubaliana kumaliza mapigano

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013

Wananchi   na  viongozi  wa  jamii   za  Wamasai  na  Wasonjo  wilayani  Ngorongoro  mkoani   Arusha  wamekubaliana kumaliza mgogoro wa siku nyingi ulipo baina ya jamii hizo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS