Mapunda,Canavaro watemwa Taifa Stars

Wachezaji wa Taifa Stars wakishangilia goli katika moja ya mechi walizocheza katika uwanja wa Taifa,DSM

Kocha Msaidizi wa Taifa Stars, Salum Mayanga ametangaza wachezaji wengine 23 watakaoingia kambini April 20 kuungana na 16 waliotajwa awali kujiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Burundi itakayochezwa April 26 mwaka huu jijini Dar es salaam

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS