Tanzania inakabiliwa na vifo vingi vya wajawazito Waziri wa afya na ustawi wa jamii nchini Tanzania, Dkt Seif Rashid Tanzania imetajwa kuwa moja ya nchi kumi duniani zenye kiwango kikubwa cha vifo vya akina mama wajawazito wanaofariki kutokana na matatizo ya uzazi. Read more about Tanzania inakabiliwa na vifo vingi vya wajawazito