Madiwani waitaka manispaa kupunguza maafa ya mvua

Mkazi wa jiji la Dar es Salaam akiwa katikati ya nyumba zilizozingirwa na mafuriko kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha

Madiwani wa halmashauri ya manispaa ya kinondoni jijini Dar es salaam nchini Tanzania wameitaka serikali kuchukua hatua za haraka zitakazosaidia kupunguza maafa yatakayotokana na mvua zinazoendelea kunyesha hivi sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS