Madiwani waitaka manispaa kupunguza maafa ya mvua
Madiwani wa halmashauri ya manispaa ya kinondoni jijini Dar es salaam nchini Tanzania wameitaka serikali kuchukua hatua za haraka zitakazosaidia kupunguza maafa yatakayotokana na mvua zinazoendelea kunyesha hivi sasa.