Tanzania mwenyeji michuano ya majeshi EA 2014
Jeshi la wananchi Tanzania JWTZ litakua mwenyeji wa mzunguko wa nane wa michezo ya majeshi ya ulinzi na utamaduni kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki itakayofanyika Zanzibar kuanzia tarehe 18 hadi 31 mwezi wa nane mwaka huu
Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya michezo hiyo brigedia jenerali Cyrile Mhaiki amesema michezo hiyo hufanyika kwa mujibu wa makubaliano ya ushirikiano katika Nyanja ya ulinzi kwa nchini wanachama yaliyosainiwa na wakuu wa nchini wanachama mwaka 2001,
