CHADEMA: Uchaguzi Serikali za Mitaa Haujaeleweka
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA imesema kuwa pamoja na serikali kusita kuweka bayana masuala yahusuyo chaguzi za serikali za Mitaa kwa lengo la kushtukiza uchaguzi huo, wao wamejiandaa kushinda chaguzi hizo

