Meya Kinondoni awaonya makandarasi wazembe

Meya wa Manispaa ya Kinondoni Yusuph Mwenda (kulia) akipokea tuzo ya meya aliyapata mafanikio kwa mujibu wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa - ALAT, kutoka kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI Bi. Hawa Ghasia.

Meya wa manispaa ya Kinondoni jijini Dar es salaam nchini Tanzania Yusuph Mwenda amesema itamfukuza mkandarasi yoyote aliyepewa kazi na manispaa hiyo iwapo tu atabainika ametengeneza barabara chini ya kiwango.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS