Mzee Ojwang kuzikwa leo Nai

Aliyekuwa nguli katika tasnia ya maigizo Kenya, Marehemu Mzee Ojwang'

Aliyekuwa nguli katika tasnia ya maigizo Kenya, Marehemu Mzee Ojwang' anatarajiwa kuzikwa leo katika makaburi ya Langata huko Kenya, baada ya kufariki dunia takriban siku 17 zilizopita sababu kubwa ikiwa ni kushambuliwa na homa ya mapafu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS