Ndugai ahojiwa na Polisi kwa kujeruhi

Mbunge wa Kongwa aliyemaliza muda wake ambaye pia ni Naibu Spika wa Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai.

Mbunge wa Kongwa aliyemaliza muda wake ambaye pia ni Naibu Spika wa Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amehojiwa na jeshi la Polisi Mkoani Dodoma kwa tuhuma za kumshambulia kwa fimbo na kumjeruhi mgombea mwenzake

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS