Lowasa achukua fomu , aahidi kushinda urais

Mbunge wa Monduli Edward Lowassa akionesha fomu ya kugombea urais mara baada ya kukabidhiwa leo.

Waziri Mkuu Mstaafu Mh. Edward Lowassa amechukua fomu ya kuwania urais kwa tiketi ya chama cha siasa cha upinzani Chadema na kuahidi kuwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) utashinda urais katika uchaguzi mkuu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS