Washiriki Dance100% wapewa somo

majaji wa shindano la Dance100% Shetta na Super Nyamwela wakitoa somo kwa washiriki 15 wa Dance100% 2015

Makundi 15 ya kudansi ambayo yamefanikiwa kupita katika hatua ya usaili wa mashindano ya Dance100% 2015 kwa mwaka 2015, leo hii yamefika katika ofisi za EATV kupigwa shule kuhusiana na taratibu zitakazotumika katika hatua inayofuata.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS