Tuchague kiongozi anayetutimizia haki zetu za msingi. Niwajibu wa kila mtanzania kujiandikisha ili kuweza kumchagua kiongozi bora na sio bora kiongozi, tunataka mtu anayeweza kututimizia haki zetu za msingi. Read more about Tuchague kiongozi anayetutimizia haki zetu za msingi.