Tusiwachagulie viongozi Wananchi - Karsan

Mkurugenzi wa umoja wa vilabu vya waandishi wa habari nchini (UTPC) Abubakar Karsan

Waandishi wa habari nchini wameaswa kuacha kuwachaguliwa wananchi viongozi hasa katika Kipindi hiki cha kampeni za uchaguzi mkuu na badala yake wafanye kazi yao ya kutoa habari na kufichua maovu katika jamii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS