Uteuzi wa majimbo UKAWA ulizingatia vigezo-Mbowe

Mwenyekiti mwenza wa vyama vinavyounda Umoja wa katiba ya wananchi nchini Tanzania UKAWA Bw. Freeman Mbowe

Mwenyekiti mwenza wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya wananchi nchini Tanzania UKAWA Bw. Freeman Mbowe amesema uteuzi wa wagombea wa ubunge katika majimbo kwa kushirikisha umoja huo ulizingatia uwezo wa mgombea husika na sifa alizokuwa nazo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS