TFF haitofuta viingilio vya mechi za stars Kikosi cha timu ya soka ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars Shirikisho la soka nchini Tanzania TFF limesema bado halijafikiria kufuta viingilio vya michezo ya soka ya kimataifa kwa ngazi ya vilabu na taifa kutokana na gharama za michezo husika. Read more about TFF haitofuta viingilio vya mechi za stars