Watanzania 4 wafariki tukio la kukanyagana Mina

Baadhi ya waokoaji na baadhi ya mahujaji wakiwa wanatoa miili na majeruhiwa tukio la kukanyagana kulipolekea vifo vya watu 717

Watanzania wanne wamethibitishwa kufariki dunia katika tukio la kukanyagana katika mji wa Makka, ikiwa ni miongoni mwa mahujaji zaidi ya 700 waliopoteza maisha katika tukio hilo wakati wa siku ya mwisho ya Hijja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS