Umati wa watu waahirisha mkutano wa Lowassa Tanga

Kampeni za mgombea urais kupitia UKAWA akiwa amezungukwa na Umati wa Watu jana Jijini Tanga ambapo mkutano wake Uliahirisha kutokana na msongamano

Mkutano wa kampeni ya mgombea urais kupitia chama CHADEMA, Edward Lowassa umeahirishwa mara baada ya wananchi kujitokeza kwa wingi kumsikiliza hali iliyopelekea baadhi ya wananchi kupoteza fahamu kwa kukanyagana uwanja wa Tangamano jijini Tanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS