Serikali yazindua utoaji wa elimu kwa TEHAMA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,Profesa Sifuni Mchome na Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Shule,Marystella Wassena.

Wizara ya elimu nchini Tanzania imezindua utoaji wa elimu kwa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ambayo inatarajiwa kuanza kutumika kwa wanafunzi wa shule za msingi kuanzia darasa la kwanza mpaka la tatu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS