Pinda ashukuru kumaliza utumishi wake kwa amani Waziri Mkuu, Mizengo Pinda WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema anamshukuru Mungu kwa kumuwezesha kumaliza salama utumishi wake serikalini kwenye ngazi za juu ambao umedumu kwa takriban miaka 15. Read more about Pinda ashukuru kumaliza utumishi wake kwa amani