Wakurugenzi waomba ulinzi utangazaji matokeo

Katibu tawala wa mkoa wa Njombe Jackson Saitabahu

Wakurugenzi watendaji wa halmashauri za mikoa ya Njombe na Ruvuma wameiomba serikali kuwawekea ulinzi wa kutosha wakati wa uchaguzi ili kulinda maisha yao baada ya kutangaza matokeo ya uchaguzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS