Wakurugenzi waomba ulinzi utangazaji matokeo Katibu tawala wa mkoa wa Njombe Jackson Saitabahu Wakurugenzi watendaji wa halmashauri za mikoa ya Njombe na Ruvuma wameiomba serikali kuwawekea ulinzi wa kutosha wakati wa uchaguzi ili kulinda maisha yao baada ya kutangaza matokeo ya uchaguzi. Read more about Wakurugenzi waomba ulinzi utangazaji matokeo