Sitosahau nilipoingia ikulu - Queen Darlene

Msanii wa kike anayefanya vizuri kwenye anga za muziki wa Bongo Flava Queen Darleen, amesema kitendo cha yeye kuingia Ikulu na kukaa meza moja na Rais Kikwete na kustorika nae, ni kikubwa kwake na hatokuja kusahau maishani mwake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS