Mikutano ya kampeni ya nini? Sina makosa - Dovutwa

Mgombea urais kupitia chama cha UPDP Fahmi Nasoro Dovutwa amesema hana sababu ya kufanya mikutano mikubwa ya hadhara, kwani yeye hana makosa na wala hajawaudhi wananchi, hivyo haitaji kuitumia mikutano hiyo kujisafisha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS