JK ataka Marekani kufunga soko la Pembe za Ndovu

Rais Kikwete akihutubia Kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Mjini New York ambapo katika hotuba hiyo alielezea masuala mbalimbali

Rais Jakaya Kikwete amewataka wabunge wa bunge la Marekani kufunga masoko ya pembe za ndovu na faru duniani kama njia yenye uhakika wa kukomesha ujangili dhidi ya wanyamapori katika nchi za Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS