Jaguar, NYS kusaidia kutibu mateja

Msanii wa muziki Jaguar kutoka nchini Kenya

Msanii wa muziki Jaguar kutoka nchini Kenya, kwa kushirikiana na taasisi ya huduma kwa Vijana nchini humo NYS, wamefanikiwa kukubaliana kufungua kituo cha kusaidia waathirika wa dawa za kulevya Mombasa nchini kenya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS