Subira awaasa watanzania amani.

msanii wa muziki wa injili nchini Tanzania Subira Mkwabi

Mwanadada mahiri wa muziki wa injili nchini Subira Mkwabi ambaye ameanza kuchipukia katika muziki wa injili amewaomba watanzania kuiachia Tume ya Taifa ya Uchaguzi ifanye kazi yake na kuiombea amani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS