Watanzania watakiwa kuwa wabunifu katika uwekezaji
Mkuu wa wilaya ya Mbeya Nyerembe Munasa Sabi akiongea na wadau mbalimbali wa Maendeleo
Watanzania wamehimizwa kutumia fursa zilizipo kwa kuwa wabunifu na kufanya tafiti zitakazowasaidia kuwa wawekezaji ili kuongeza ajira na kujiongezea kipato.