Mch. Msigwa,afikishwa mahakamani mkoani Iringa

Mgombea Ubunge jimbo la Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa akiongea na Waandishi wa Habari mara baada ya kutoka Mahakamani Jana

Mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini kupitia (CHADEMA), Mch. Peter Msigwa na wafuasi wengine watatu wa chama hicho wamefikishwa mahakamani na kusomewa mashitaka yanayohusiana na uvunjifu wa amani pamoja na kuwashambulia askari wa jeshi la polisi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS