NEC yatolea ufafanuzi vituo vya upigaji kura

Mkurugenzi wa masuala ya Sheria wa NEC, Bw Emmanuel Kawishe

Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imetolea ufafanuzi kuhusu vituo vya kuandikisha kupiga kura, karatasi za kupigia kura na utaratibu wa upigaji wa kura huku wakiwataka viongozi wa vyama vya siasa kuwaambia ukweli wananchi na kufuata sheria za Uchaguzi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS