Uchaguzi Zanzibar hauathiri wa Tanzania-Lubuva

MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva,

Licha ya mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Jecha Salim Jecha kutangaza kufutilia mbali kwa matokeo ya uchaguzi visiwani humo,Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetoa tamko kuwa hatua hiyo haitaathiri matokeo ya uchaguzi wa urais Tanzania bara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS