Kipindupindu chavamia jiji la Arusha

Mkuu wa wilaya ya Arusha Mjini, Fadhili Nkurlu

Mkuu wa wilaya ya Arusha mjini, Fadhili Nkurlu, amepiga marufuku uuzwaji wa vyakula katika mazingira machafu, matunda na vimiminika vingine kwa muda usiojulikana, kutokana na ugonjwa wa kipindupindu kuingia wilayani humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS