Vifaa vya JATA kutoka IJF kupigwa mnada Vifaa vya Judo vilivyotolewa na shirikisho la mchezo huo la Dunia IJF viko hatarini kupigwa mnada baada ya Chama cha Judo Tanzania JATA kushindwa kuvilipia ushuru ili kuviondoa bandarini. Read more about Vifaa vya JATA kutoka IJF kupigwa mnada