Kesi ya kukaa mita 200 Oktoba 25 yapigwa kalenda

Jengo la Mahakama kuu ya Tanzania

Mahakama kuu kanda ya Dar es salaam leo imeahirisha kesi ya kikatiba kuhusu kutoa tafsiri ya umbali wanaotakiwa kusimama wapiga kura baada ya kupiga kura wakati wa uchaguzi mkuu ili kutoa muda kwa upande wa serikali kuandaa majibu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS