AWATA waahirisha Nyerere Cup, kuandaa Klabu Bingwa

Chama cha mchezo wa Mieleka ya Ridhaa nchini AWATA kimesema kimeahirisha mashindano ya Nyerere Cup na sasa hivi wanaangalia mashindano ya Klabu Bingwa Taifa yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Desemba mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS