Submitted by richard on Friday , 11th Dec , 2015#SKONGA hii ni zamu ya TAMBAZA HIGH SCHOOL, wapo waliokuna kidevu na waliotokelezea, pia kwenye Kimbweta wamejadili hili: Mzazi/mlezi kumchagulia mwanaye (mwanafunzi) masomo ya kusoma ni sahihi? saa 12:00 Jioni.