Jokate kuja na kikundi cha muziki

Mrembo, Mjasiriamali na nyota wa muziki Jokate wa Tanzania

Mrembo, Mjasiriamali na nyota wa muziki Jokate wa Tanzania, ameeleza juu ya mpango wake wa kutengeneza kikundi cha muziki ambacho atakuwa akifanya nacho kazi katika project ambazo ataanza kuziachia siku za usoni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS