Mrembo, Mjasiriamali na nyota wa muziki Jokate wa Tanzania
Mrembo, Mjasiriamali na nyota wa muziki Jokate wa Tanzania, ameeleza juu ya mpango wake wa kutengeneza kikundi cha muziki ambacho atakuwa akifanya nacho kazi katika project ambazo ataanza kuziachia siku za usoni.